YEMI ALADE KUTUA BONGO KWE TAMASHA LA MATUMAINI
Mwanamuziki kutoka Nigeria Yemi Alade anatarijiwa kutua Tanzania Tarehe 8 mwezi Agosti mwaka huu.
Msanii huyo ambae ametamba sana na ngoma yake ya "Johnny" ambapo ameamua kuvuka boda zote mpaka Bongo kuja kumtafuta Johnny kwenye "Tamasha la Matumaini".
Msanii huyo ambae ametamba sana na ngoma yake ya "Johnny" ambapo ameamua kuvuka boda zote mpaka Bongo kuja kumtafuta Johnny kwenye "Tamasha la Matumaini".
No comments