JEZI ZA JAMES RODRIGUEZ ZAWEKA REKODI REAL MADRID
Ripoti za Hispania zinasema Jezi zipatazo 50000 za James Rodriguez zimeuzwa ndani ya siku moja tangu zilipoingia rasmi sokoni ambapo zimeuzwa kwenye duka la Real Madrid na imeonyesha kiasi gani raia huyu wa Colombia anavyokubalika.
Rodriguez ametua Madrid akitokea AS Monaco huku akiwa ndiye mfungaji bora wa Kombe la Dunia nchini Brazil 2014 baada ya kutokana na magoli 6 aliyofunga.
No comments