Msikiti
wa Mtambani,uliopo Kinondoni jijini Dar,hivi sasa umeteketea kwa moto
na kusababisha hasara kubwa ya mali zilizokuwemo, Kibonajoro iko kazini na punde itakuarifu
kilichokuwa kikijiri eneo hilo ikiwemo pia na kutaka kufahamu nini hasa
chanzo cha moto huo,uliowashtua wakazi wengi wa eneo hilo la Kinondoni
na kwingineko.
BREKING NEWSS..! Msikiti wa Mtambani uliopo Kinondoni unateketea kwa moto hivi sasa.
Reviewed by Unknown
on
August 13, 2014
Rating: 5
No comments