Kuna Taarifa kuhusu Jeshi la Nigeria kuwachinja wanamgambo wa Boko Haram na kuwazika katika kaburi la Pamoja, Habari hiyo bado inachunguzwa na Mashirika ya haki za binadamu duniani na Serikali ya Nigeria kujua kiundani nini hasa kilitokea.
JESHI LA NIGERIA LATUHUMIWA KUWACHINJA BOKO HARAMU
Reviewed by moo
on
August 08, 2014
Rating: 5
No comments