MTANGAZAJI wa michezo wa Radio One Stereo, Maulid Kitenge kupitia akaunti yake ya Twitter hivi punde ametangaza kuondoka rasmi katika radio hiyo baada ya kuitumikia kwa miaka 14. Kupitia Twitter, Kitenge ameandika hivi:
Maulid Kitenge abwaga manyanga ITV na Radio one leo
Reviewed by Unknown
on
August 18, 2014
Rating: 5
No comments